☰
Home
(current)
Login
Register
Biolife Herbs || Dar-es-salaam
Dar es salaam Goba njia nne Nyuma ya AFRO OIL utaona ofis zimeandikwa BIOLIFE
PRODUCT
ROYAL JELLY ( MAZIWA YA NYUKI)
Category:
Uncategorized
ROYAL JELLY ( MAZIWA YA NYUKI).
Nyuki huwa na mazao mengi kama Asali, propolis, ntaa, sumu ya Nyuki na maziwa ya Nyuki ( royal jelly).
Royal jelly ni chakula special kwa ajili ya watoto wa Nyuki ambacho utumia kwa siku tatu tuu ( kwa Nyuki wa kawaida) na malkia utumia royal jelly kwa maisha yake yote.
Royal ni chakula special kwa malkia wa Nyuki kwa ajili ya kumuwezesha katika shughuli zake za uzazi.
Cha na pia ndio chakula kinacho msaidia kuishi maisha marefu zaidi kuliko Nyuki wengine.
Malkia wa Nyuki anaweza kuishi kwa wastani wa mwaka 1 Hadi miwili, wakati Nyuki wa kawaida uishi chini ya mwaka mmoja.
Pia binadamu tunapo tumia Royal jelly upata faida kama hizo:
Miungoni mwa faidia ni:
🟠Kupunguza kasi ya kuzeeka.
🟠 Antioxidants kwa ajili ya kutibu na kuzuia magonjwa mbalimbali hasa mivimbe na saratani.
🟠Inaongeza Kinga ya mwili.
🟠Inaongeza uzazi kwa kurutubisha mayai kwa mwanamke na kuboresha mbegu kwa mwanaume.
🟠Ina Kinga na kutibu tezi Dume.
Dozi ni kopo moja yenye vidonge 60 ( softgel capsules).
Wasiliana nasi kwa namba 0673402024 na 0688820050.
Read more
Price:
TZS 65,000
Quantity:
-
+
Total:
TZS 65,000
Order Now
Others say about this product
Your Comment
Send
Comment Section
No Comments yet!
Add Comment